Sunday, June 25, 2017

Kiongozi wa mwenge wa uhuru asisitiza kukuza umuhimu wa viwanda kukuza uchumi


kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa amesisitiza kushiriki kukuza uchumi wa viwanda kwa maendeleo ya nchi yetu" Piga vita rushwa, ukimwi, malaria na madawa ya kulevya. Amewapongeza sana vijana wa DOYODO katika kukuza maendeleo ya vijana kiuchumi kielimu na kijamii

No comments: