Wednesday, July 5, 2017

Naibu waziri wa Tamisemi awapa pongeza taasisi ya vijana DOYODO kwa harakati zake

Mwenyekiti wa taasisi ya DODOMA YOUTH DEVELOPMENT ORGANIZATION (DOYODO) akiwa na naibu waziri wa tamisemi Mhe Seleman Jafo ofisini kwake. Pia mhe naibu waziri alipata nafasi ya kuzungumza na wanataasisi na kutoa pongezi zake za dhati kwa jitihada zinazoonyeshwa na Taasisi ya DOYODO.

No comments: