Sunday, July 2, 2017

TANGAZO....Nafasi za kujitolea katika taasisi ya vijana ya DOYODO


Taasisi ya vijana mkoa wa Dodoma (DOYODO) inatakaza nafasi za mabalozi kumi (10) wa kujitolea katika shughuli za kijamii kuanzia leo tarehe 02/07/2017 mpaka tarehe 06/07/2017 hivyo ukiwa kama kijana unayependa maendeleo ya kijamii kielimu na kiuchumi ni fursa ya kuomba kwa kutuma barua ikiwa imeambataniswa na CV katika email yetu doyodoorg2@gmail.com

No comments: