TANGAZO....Nafasi za kujitolea katika taasisi ya vijana ya DOYODO
Taasisi ya vijana mkoa wa Dodoma (DOYODO) inatakaza nafasi za mabalozi
kumi (10) wa kujitolea katika shughuli za kijamii kuanzia leo tarehe
02/07/2017 mpaka tarehe 06/07/2017 hivyo ukiwa kama kijana unayependa
maendeleo ya kijamii kielimu na kiuchumi ni fursa ya kuomba kwa kutuma
barua ikiwa imeambataniswa na CV katika email yetu doyodoorg2@gmail.com
No comments:
Post a Comment