Taasisi ya vijana mkoa wa Dodoma "DODOMA YOUTH DEVELOPMENT ORGANIZATION
(DOYODO) inatarajia kufanya ziara siku ya jumatano tarehe 19/07/2017
ikiongozana na afisa elimu wa manispaa ya Dodoma, Afisa mtendaji na
wadau wengine wa maendeleo kutembelea shule ya msingi mlimwa c iliyopo
kata ya miyuji Wilaya ya dodoma mjini kusikiliza changamoto mbalimbali
za wanafunzi ikiwemo maji na kujaribu kuzitatua
No comments:
Post a Comment